Usiku wa kuamkia leo ulimwengu umefikiwa na habari za kifo cha mwanamasumbwi mahiri kupata kutokea hapa duniani, ni Muhammad Ali.
Muhammad Ali, atakumbukwa kama shujaa wa wanyonge wa dunia. Alikuwa bondia na mwanaharakati wa haki za wanyonge. Daima Ali hakukubali kuburuzwa.
WANAKWAYA SITA WAFARIKI DUNIA WAKIENDA KUINJILISHA INJILI..
16 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako