Saturday 4 June 2016

LIJUE "DARAJA LA MUNGU" LILILOPO RUNGWE MKOANI MBEYA

Daraja hili lililopo nje kidogo ya Tukuyu Wilayani Runwe huko Mbeya ni moja ya maajabu ya Mungu. Historia ya watu wa maeneo hayo yasema kuwa hapo mwanzo hakukuwa na daraja sehemu hiyo na hivyo walikuwa wakihangaika sana kujenga daraja ili waweze kuvuka ng'ambo. Chaajabu kila walipokuwa wanajenga kwanyza hawamalizi na kesho yake wakija wanakuta limebomoka. Siku moja walikuja wakakuta lilivyo leo na hivyo kuamua kuita hilo ni Daraja la Mungu maana hawakujenga kwa mikono yako.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako