Wednesday, 17 September 2014

Tuesday, 16 September 2014

BUNGE LA KATIBA

JIJI LETU DAR NA ADHA YA MVUA

Miundo mbinu katika jiji letu bado sio mizuri kwakweli maana mvua ya juzi na jana tu adha yake ndo hii

Monday, 15 September 2014

RAHA ZA UTOTONI

SAFU MPYA YA UONGOZI CHADEMA

Mhe. Freeman Mbowe amechaguliwa tena kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA. Chini ni Mheshimiwa Mbowe akiwa na Viongozi wengine wa Chama hicho.

TUWAPE WANAFUNZI MAZINGIRA BORA YA KUJIFUNZA

Ni Jumatatu ambapo wanafunzi wanaanza wiki ya pilika pilika za kutafuta elimu . Lakini nina uhakikwa kwa wanafunzi wa maendeo haya wanapofikiria taswira hizi hata hamu ya kwenda shuleni inapungua
Mwalimu amejikusanyia vitendea kazi vyake ila fimbo zimekuwa nyingi. Siui kama na vitabu ni vingi hivyo au pia kilichopo kichwani kwa ajili ya kuwagawia wanafunzi. Mbinu nzuri za ufundhishaji ndo zinasaidia na sio lundo la fimbo
Hapo ndo wamefika darasani. Kweli miaka 50 ya Uhuru bado wanafunzi wengine wanasomea sehemu kama hizi na hapo hapo twataka tupate viongozi wa taifa hili kesho. Kuna umuhimu wa kufanya kitu cha ziada.
Hivi watoto hawa wanaosomea chini ya Mbuyu huku watu waliochaguliwa kwenda kuwawakilisha kutengeneza katiba mpya hawaendi Bungeni na hivyo kukwamisha mchakato, watawaambia nn watoto hawa?

Sunday, 14 September 2014

MAWAZO YA KIZAZI KINACHOENDA KASI KIFIKRA

SUMU YA WACHEPUKAJI. BAKI NJIA KUU

Wengine wamefikia huku kabisa, kwanini usibaki njia kuu sasa.
Haya sasa hii tena ni zaidi...
Upo Twitter, Hapana, Upo Facebook Hapana, ........

TULIKOTOKA NI MBALI