Tuesday, 16 October 2012
SHULE JAMANI SHULE
Hata baada ya miaka 50 ya Uhuru, nchi yetu inajitahidi kutengeneza maisha bora kwa kila mtanzania,. Hii ni pamoja na kuboresha elimu na mazingira yake, lakini kwa mtindo huu itwakuwaje???
Monday, 15 October 2012
Monday, 19 March 2012
HUKU TUTATOKA LINI
HODI TENA WADAU
Friday, 8 April 2011
MAMBO YA LOLIONDO
Baada ya Babu Ambilikile kuendelea kutoa tiba kwa kutumia kikombe kimoja cha maji wameanza kuzuka watu wengine katika sehemu mbalimbali za TZ wakidai nao wamepewa maono ya kutibu watu kwa kutumia dawa kama afanyavyo babu. Je tumwamini yupi?
Subscribe to:
Posts (Atom)













