Tuesday, 16 October 2012

SHULE JAMANI SHULE

Hata baada ya miaka 50 ya Uhuru, nchi yetu inajitahidi kutengeneza maisha bora kwa kila mtanzania,. Hii ni pamoja na kuboresha elimu na mazingira yake, lakini kwa mtindo huu itwakuwaje???

HII NAYO KALI

Jeshi la Polisi nchini China
Polisi wa kike Marekani


Polisi nchi fulani Afrika

YA KWELI HAYO???

Ni kweli wa Moshi twapenda kutafuta hela, lakini tafsiri hii kiboko.

HABARI ZA ASUBUHI KUTOKA BAGAMOYO


Wapendwa wadau, ni asubuhi sasa, nami kutoka Bagamoyo, nawatakia asubuhi njema na kazi njema.

Monday, 15 October 2012

YALE YALE Tutatokaje katika hali hii duni katika kila sekta ya maisha.....
KARIBUNI BAGAMOYO Katika matembezi yangu Mji wa kale Bagamoyo, nilifanikiwa kutembelea sehemu iitwayo $Kaole Mamba Ranch$ na kukutana na hawa.
HODI TENA Kutokana na pilika pilika za maisha, kwa kipindi fulani imekuw avigumu kuwa mtandaoni. Kwa sasa nimerejea tena katika ulingo kuwaletea za leo leo kutoka nyumbani na popote duniani. Karibuni wadau

Monday, 19 March 2012

HUKU TUTATOKA LINI




Hata baada ya miaka 50 ya UHURU, hali ya watanzania walio wengi bado ipo chini sana. Watu wanaishi kwa tabu sana hadi wamezoea hali hiyo na kufanya ya kawaida katika mtindo wa maisha sasa. Lakini kwakweli hapana, tutoke huku, Swali ni "Tutatoka vipi?"

HODI TENA WADAU


Baada ya muda mrefu wa kuhadimika kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo, nawakaribisha tena wadau katika blog hii. Kwa sasa nipo nyumbani kabisa Tanzania japo muda si mrefu tena nitarudi kwa Bibi. Hivyo kwa sasa nitakuwa nawaletea "LIVE". Karibuni sana na poleni kwa kuimiss blog yenu pendwa.

Friday, 8 April 2011

MAMBO YA LOLIONDO

Baada ya Babu Ambilikile kuendelea kutoa tiba kwa kutumia kikombe kimoja cha maji wameanza kuzuka watu wengine katika sehemu mbalimbali za TZ wakidai nao wamepewa maono ya kutibu watu kwa kutumia dawa kama afanyavyo babu. Je tumwamini yupi?