P Diddy (Perfect Kasiga) afariki dunia ghafla maeneo ya Lumumba Mnazi Mmoja baada ya kuanguka ghafla akiwa katika matemezi ya kawaida. Ni mchumba wa mtangazaji maarufu Maimatha wa Jesse
Jumapili ni siku ya mapumziko na kupanga mikakati mipya kwa ajili ya wiki inayoanza. Kwa walio jijini kama Dar-es-Salaam wanaanza tena kufikiria mikiki mikiki ya foleni asubuhi na mvua zenye adha. Lakini yote tumshukuru mungu maana ametupa uhali na tusonge mbele kwa jitihada "to make life better"
Wapendwa sana wadau wa Blog hii, nawasalimu na kuwashukuruni kwa uvumilivu wenu kwa kipindi chote ambacho nilishindwa kuwa hewani. Ni mambo mengi ila namshukuru Mungu yameisha salama na sasa naweza tena kuwa hewani kama ilivyokuwa hapo awali. Karibuni sana .
Nawatakieni kheri ya mwaka mpya 2010 wadau waheshimika. Nawaombeeni ili mwaka huu tuuanze vyema na tuendelee kujitahidi katika kila jema tuwazalo kulitenda tupate mafanikio siku hadi siku. Hongereni sana kwa kuuona mwaka mpya.
Mpenda nyumbani nimeamua kuungana nanyi kuwaletea blog hii maalum inayowapa habari za nyumbani Tanzania na habari toka sehemu mbalimbali lakini zenye lengo la kuelimisha,kukosoa,kupongeza na kuburudisha jamii. Karibuni Nyumbani!