Thursday, 9 September 2010

ARI ZAIDI, NGUVU ZAIDI, KASI ZAIDI !!!!!



Hawa nao wanataka kuona matunda ya Kauli mbiu hiyo, watapata wanachotaka???

Wednesday, 8 September 2010

JAMANI, POLE MAIMATHA


P Diddy (Perfect Kasiga) afariki dunia ghafla maeneo ya Lumumba Mnazi Mmoja baada ya kuanguka ghafla akiwa katika matemezi ya kawaida. Ni mchumba wa mtangazaji maarufu Maimatha wa Jesse

ENZI ZILE

MAMBO YA VODACOM MISS TANZANIA 2010



WAREMBO WAKIWA WAMEWABEBA WATOTO KATIKA HOSPITALI YA KISARAWE WALIKOENDA KUTOA MSAADA WA VYANDARUA

Monday, 10 May 2010

BLUE MONDAY


Wiki imeanza, tuanze tena pilikapilika za kuboresha maisha. Nawatakieni nyote Jmatatu njema na wiki yenye mafanikio

Sunday, 9 May 2010

JUMAPILI NJEMA

Jumapili ni siku ya mapumziko na kupanga mikakati mipya kwa ajili ya wiki inayoanza. Kwa walio jijini kama Dar-es-Salaam wanaanza tena kufikiria mikiki mikiki ya foleni asubuhi na mvua zenye adha. Lakini yote tumshukuru mungu maana ametupa uhali na tusonge mbele kwa jitihada "to make life better"

Wednesday, 5 May 2010

HODI TENA WADAU

Wapendwa sana wadau wa Blog hii, nawasalimu na kuwashukuruni kwa uvumilivu wenu kwa kipindi chote ambacho nilishindwa kuwa hewani. Ni mambo mengi ila namshukuru Mungu yameisha salama na sasa naweza tena kuwa hewani kama ilivyokuwa hapo awali. Karibuni sana
.

Friday, 1 January 2010

HERI YA MWAKA MPYA 2010

Nawatakieni kheri ya mwaka mpya 2010 wadau waheshimika. Nawaombeeni ili mwaka huu tuuanze vyema na tuendelee kujitahidi katika kila jema tuwazalo kulitenda tupate mafanikio siku hadi siku.
Hongereni sana kwa kuuona mwaka mpya.

Saturday, 19 December 2009

MFULULIZO WA MARAHA KUELEKEA XMAS NA MWAKA MPYA


Ndafu wa nguvu

Kumbi zilizopambwa zikapambika

Mwanamama Tshalla Muana stejini

JB Mpiana na jopo zima