Ni Tanzania tu ambapo mdada anajua kabisa tarehe ya kuvalishwa pete ya uchumba (engagement), anashona nguo, na anakwenda saluni, halafu mwanaume mchumbiaji anapokuja na shamrashamra zote siku ya tukio, eti akitoa pete kumvalisha mdada huyo anajifanya kushangaa sana (SURPRISED)! Kuna mmoja alizimia kabisaa wakati ni yeye ndiye aliyetafuta mpaka sonara! TUNAISHI KWA KUIGIZA!..😂😂😂😂
Meya Ahimiza Usafi Jijini Arusha
11 hours ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako