Mpendwa Mzee Amedeus Mwangoka,Baba mzazi wa mwenye Blog hii ametutoka ghafla Kibosho Hospital-Moshi, usiku wa Jumatatu 23/03/2009. Mazishi yanafanyika leo Jumamosi 28/03/2009 nyumbani Kilingi-Sanya Juu Kilimanjaro. Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana libarikiwe. Apumzike kwa Amani.Amina.
Saturday, 28 March 2009
HUZUNI
Mpendwa Mzee Amedeus Mwangoka,Baba mzazi wa mwenye Blog hii ametutoka ghafla Kibosho Hospital-Moshi, usiku wa Jumatatu 23/03/2009. Mazishi yanafanyika leo Jumamosi 28/03/2009 nyumbani Kilingi-Sanya Juu Kilimanjaro. Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana libarikiwe. Apumzike kwa Amani.Amina.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
Maoni yako