Tuesday, 5 March 2013

DANGANYA TOTO

Wakati bado tunajiuliza kulikoni kuhusu matokeo mabaya ya Kidato cha nne 2012, hili nalo ni la kutupia macho, lisibaki kichekesho tu

UJUMBE WA LEO


Katika harakati hizi za kujikwamua kimaisha, ujumbe huu watukumbusha jambo fulani. Si vibaya kwa wale walioguswa kuzingatia undani wa ujumbe huu. Tafadhali usiusome ujumbe huu kwa papara na kukimbilia kulalamika au kukosoa.

MOTO-LEO

Moto umetokea tena leo na kuunguza baadhi ya ghala katika eneo la Uwekezaji la Shekilango Jijini DAR. Bado haijajulikana vizuri moto huo ulianzia wapi, ila mpaka picha hii inapigwa bado moto huo ulikuwa haujaweza kuzimwa kutokana na moshi mweusi kutanda juu ya eneo hilo na kusababisha usumbufu wa wahusika wa zima moto. Ikumbukwe kuwa moto huu unatokea baada ya tukio kama hili kutokea huko Mbezi- Kiwanda cha Chemi and Cotex, Mwenge madukani kwenye kituo cha Daladala na juzi tu huko Tegeta.

INATIA HURUMA

Wakati kila mmoja anajaribu kupambana kutafuta unafuu wa maisha, tunapaswa kwa wakati huo kuangalia wale ambao bado hawajiwezi kujitafutia wenyewe kama watoto hawa. nani anasikia kilio chao. Kilio hiki kinatokana na mambo mengi ya kimaisha, pengine ni ukosefu wa lishe, makazi, vita, ugomvi baina ya wazazi na mengine kama hayo. Ni wakati ambapo Serikali na watu husika waangalie hili maana inatia huruma.

Monday, 4 March 2013

MVUA KIDOGO DAR LEO

Dar es Salaam , leo Mungu alitujalia baraka ya mvua lakini adha yake anaijua mwenyewe aliyeileta

BENKI ZA TANZANIA MPOOOOO


Friday, 1 March 2013

Thursday, 28 February 2013

Khe

Hii sasa imezidi jamani. Huu ni uharibifu wa chombo na mazingira. Hata kama ni ule msema "Heri punda afe mzigo ufike".

MWILI HAUJENGWI KWA MATOFALI


UBUNIFU

Sie tupo huko bado