Timu ya Taifa ya Tanzania (kilimanjaro Stars) imenyakua Kombe la CECAFA Tusker Challenge jioni hii katika Uwanja wa Taifa ilipochuana chidi ya Timu ya Ivory Cost Kilimanjaro Stars Timy ya Ivory Cost
Mpenda nyumbani nimeamua kuungana nanyi kuwaletea blog hii maalum inayowapa habari za nyumbani Tanzania na habari toka sehemu mbalimbali lakini zenye lengo la kuelimisha,kukosoa,kupongeza na kuburudisha jamii. Karibuni Nyumbani!