Wednesday 15 October 2014

UTAALAMU WA HALI YA JUU WA TANESCO NA TANROAD

Nguzo hii ya Umeme ipo barabarani maeneo fulani huko Mbeya. Sasa sijui wahusika ndo wameona hapo ndo utaalamu wao wote umetumika hadi kufanya hivyo au hawaona kama kuna tatizo

No comments:

Post a Comment

Maoni yako