Tuesday 7 October 2014

MAKUMBUSHO YA CHIFU MKWAWA WA WAHEHE

Tujue historia yetu
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiangalia fuvu la aliyekuwa Chifu wa Wahehe, Mkwawa alipotembelea Makumbusho ya shujaa huyo aliyepambana na wajerumani na kujiua kwa bunduki baada ya kuona yupo hatarini kukamatwa na wajerumani.
Picha ya kuchorwa ya Chifu Mkwawa
Fuvu la kichwa cha Mkwawa

No comments:

Post a Comment

Maoni yako