Meli ya Oasis Seas ndio inayoongoza kwa ukubwa. Ina uwezo wa kuchukua abiria 6,300 na wahudumu 2394 kutoka zaidi ya nchi 71. Ndani ina kila aina ya maraha. Imetia nanga katika Bandari ya Southampton huko Uingereza.
Ramani ya meli hiyo
WMA YAENDESHA ZOEZI LA UHAKIKI MITA ZA UMEME VIWANDANI
16 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako