Sunday 26 October 2014

UHUSIANO KATI YA TANZANIA NA CHINA WAZIDI KUIMARIKA

Mhe.Rais Jakaya Kikwete akiangalia mchoro wa ramani ya Tanzania unayoonyesha Reli ya Kati inayotarajiwa kufanyiwa ukarabati mpya na wa kisasa na Kampuni ya China, alipokuwa ziarani China wiki hii. Ukarabati huo utahusisha Reli ya kati ya Dar es Salaam-Kigoma, Tabora-Mwanza, Kaliua-Mpanda-Ziwa Tanganyika
Mhe.Rais Kikwete akisalimiana na mwenyeji wake Rais wa China mhe. Xi Jinping

No comments:

Post a Comment

Maoni yako