Thursday 30 October 2014

SIMANZI ZAMBIA

Ni juzi tu wamesherehekea miaka 50 ya Uhuru wa nchi yao, ila jana Zambia imempoteza Rais wao Mhe. Sata huko London alipokuwa akipata matibabu. Habari zinasema Makamu wa Rais Mhe. Dk, Guy Scottambaye ni wa asili ya Kizungu ndio anashika madaraka mpaka uchaguzi utakapofanyika tena. RIP Rais wa Zambia.
Mhe. Dk. Guy Scott

No comments:

Post a Comment

Maoni yako