Wednesday 26 October 2016

MOROCCO NA TANZANIA KUSAINI MIKATABA 21 YA USHIRIKIANO KTK ZIARA YA MFALME WA MORROCO

Mfalme Mohammed VI wa Morocco amekubali maombi ya Rais John Magufuli ya kujenga uwanja wa mpira mjini Dodoma ambao utakuwa mkubwa kuliko ule wa Taifa jijini Dar es Salaam sambamba na kujenga msikiti mkubwa jijini humo.

Rais Magufuli aliyasema hayo Ikulu Dar es Salaam jana wakati akitoa shukrani baada ya kukutana na kiongozi huyo, aliyeambatana na wajumbe 150 ambao pamoja na mambo mengine, nchi hizo mbili zilisaini Mikataba ya Makubaliano (MoU) 21.

Akitoa taarifa fupi ya mazungumzo baina yao, Rais Magufuli alisema Mfalme Mohammed VI amekubali kujenga msikiti mkubwa jijini Dar es Salaam sambamba na kujenga uwanja wa mpira mjini Dodoma wenye thamani ya Dola za Marekani milioni 80 (zaidi ya Sh bilioni 160).

“Katika mazungumzo yetu, nimshukuru Mfalme Mohammed wa Morocco amekubali ombi langu la kujenga msikiti mkubwa hapa Dar es Salaam, na amekubali kwenye mji mkuu Dodoma, atajenga uwanja wa mpira utakaokuwa mkubwa kuliko wa Dar, na thamani yake ni zaidi ya Dola milioni 80,” alieleza Dk Magufuli.

Uwanja wa Taifa umejengwa na Wachina kwa gharama ya Sh bilioni 60 na una uwezo wa kuchukua watu 60,000 waliokaa. Dodoma ambayo ni Makao Makuu ya nchi na Serikali ya Awamu ya Tano imepanga yote kuhamia huko ifikapo mwaka 2020, inao Uwanja wa Jamhuri ambao unamilikiwa na CCM na unachukua watu 8,000.

Mbali na hayo, katika kuimarisha uhusiano baina ya nchi hizo mbili kwenye nyanja ya usalama na ulinzi, Mfalme huyo amekubali kuanzisha programu ya kubadilishana mafunzo baina ya askari wa Tanzania na Morocco na kwa kuanza wiki ijayo askari 150 wa Tanzania watakwenda mafunzoni nchini Morocco.

Katika ziara ya siku tatu ya kikazi ya Mfalme Mohammed VI aliyewasili nchini juzi, akiwa na ujumbe wa wafanyabiashara pamoja na viongozi wengine, wamefanikiwa kufanya makubaliano ya mikataba 21 katika nyanja mbalimbali zikiwamo za kilimo, gesi, madini na na usafiri wa anga.

Mikataba hiyo ni pamoja na Makubaliano ya Jumla katika Ushirikiano wa Uchumi, Sayansi, Ufundi na Utamaduni baina ya Serikali ya Morocco na Tanzania yaliyosainiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dk Augustine Mahiga na Waziri wa wizara hiyo wa Morocco, Salahddine Mezouar.

Mwingine ni ule wa kuanzishwa kwa Jukwaa la Mashauriano ya kisiasa baina ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na wizara hiyo nchini Morocco, mkataba wa ushirikiano kwenye sekta ya gesi, nishati, madini na sayansi ya miamba, mkataba wa ushirikiano wa usafiri wa anga, mkataba wa ushirikiano kwenye mradi wa mtangamano wa kuwasaidia wakulima wadogo nchini.

Pia mkataba wa makubaliano kwenye sekta ya uvuvi, mkataba wa makubaliano baina na MASEN-Morocco na Wizara ya Nishati na Madini kwa ajili ya maendeleo ya nishati mbadala, mkataba wa ushirikiano baina ya Shirika la Mbolea la Morocco (OCP) na Shirika la Mbolea la Tanzania katika kuendeleza soko la mbolea na kilimo nchini.

Pia mkataba baina ya Bodi ya Utalii Tanzania na Kamisheni ya Utalii Zanzibar na Ofisi ya Utalii ya Taifa nchini Morocco, Mkataba wa Kundi la Utoaji Mikopo la Morocco na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania, Mkataba baina ya Shirika la Bima la Taifa (NIC) na Shirika la Bima la Morocco.

Mingine ni Mkataba wa Maeneo Maalumu ya Uwekezaji (EPZA) na Kundi la SNTL la Morocco katika ubia wa uendelezaji na utangazaji wa viwanda, mkataba wa usafirishiaji kwenye reli kupitia Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli Tanzania (RACO) kwa ajili ya ubia kuendeleza reli ya Mtwara-Mchuchuma/Liganga.

Aidha, mkataba mwingine ni ule wa kuanzishwa kwa Baraza la Biashara baina ya Shirikisho la Wafanyabiashara wa Morocco (CGEM) na Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Mkataba wa Mkopo baina ya Benki ya Afrika (BOA) na Hospitali ya CCBRT na mkataba wa mkopo wa BOA na Kampuni ya gesi ya Lake.

Mkataba wa Mkopo wa BOA na Kampuni ya Superstar Forwarders, Mkataba wa Ushirikiano baina ya Kampuni ya OLAM Tanzania na Benki ya Attijariwafa, mkataba wa ubia baina ya Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB)na Benki ya Centrale Populaire ya Morocco, mkataba wa Kitaalamu baina ya Shirikisho la Bima la Morocco na kampuni za bima Tanzania.

Pia mkataba wa ushirikiano baina ya kampuni ya kuchanganya chai ya Morocco na Kampuni ya Afri Tea and Coffee ya Tanzania.

Akizungumzia MoU kwenye usafiri wa anga, Rais Magufuli alisema wamekubaliana nchi hizo mbili kuanzisha safari za ndege za moja kwa moja kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam kwenda Rabat, mji mkuu wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

“Na sisi tumeanzisha shirika letu kidodokidogo linasuasua, lakini tutakuwa na ushirikiano mzuri na Shirika la Ndege la Morocco, na makubaliano haya yote ni mwelekeo nzuri wa kuijenga Tanzania na kuwa na uchumi unaokua kwa asilimia 7.2,” alisema Rais Magufuli.

Rais Magufuli alisema Morocco imepiga hatua kubwa kwenye utalii na kwamba mwaka 2015 ilipokea watalii milioni 10.5 na mwakani wanategemea kupokea watalii zaidi ya milioni 14 na kwamba Tanzania imesaini makubaliano kwenye sekta hiyo kwa lengo la kuendeleza hifadhi za nchi na kuutangaza utalii.

Aidha, alisema makubaliano yote hayo yamelenga kuijenga Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa kati wa viwanda na kwamba hilo linawezekana kwa kuwa hata sasa hali ya uchumi wa nchi ni nzuri kwa kuwa unakua kwa asilimia 7.2; na taarifa za uchumi zinaonesha kwenye robo ya pili ya mwaka uchumi umekua kwa asilimia 7.9.

“Tuko kwa ajili ya kuujenga uchumi na niwakaribisheni wageni wetu kutoka Morocco, niwahakikishieni kuwa mko salama na karibuni kuwekeza kwa faida ya nchi hizo mbili ambazo uhusiano wake ulianza tangu enzi za Iban Batutu wa Morocco aliyetembelea Kilwa miaka mingi iliyopita,” alieleza Rais Magufuli.

28 comments:

  1. mikataba ya mkopo kati ya binafsi, haraka na za kuaminika 30,000 kr

    LUCIANA nina mji mkuu ambazo zitatumika kutoa mikopo maalum kwa muda mfupi na mrefu kutoka 75,000kr hadi 2,000,000 kr kwa mtu yeyote kwa umakini kutaka mkopo. 2% hadi 3% riba mwaka kulingana na kiasi kulipwa kwa sababu mimi si hasa wanataka kukiuka sheria riba. Unaweza kulipa miaka 1 mpaka 20 kutegemea kiasi cha juu ameipa. Wasiliana nasi kwa barua pepe tu: luciana.salvatore147@gmail.com Mawasiliano kwa barua pepe tu: luciana.salvatore147@gmail.com Mawasiliano kwa barua pepe tu: luciana.salvatore147@gmail.com

    ReplyDelete
  2. mikataba ya mkopo kati ya binafsi, haraka na za kuaminika 30,000 kr

    LUCIANA nina mji mkuu ambazo zitatumika kutoa mikopo maalum kwa muda mfupi na mrefu kutoka 75,000kr hadi 2,000,000 kr kwa mtu yeyote kwa umakini kutaka mkopo. 2% hadi 3% riba mwaka kulingana na kiasi kulipwa kwa sababu mimi si hasa wanataka kukiuka sheria riba. Unaweza kulipa miaka 1 mpaka 20 kutegemea kiasi cha juu ameipa. Wasiliana nasi kwa barua pepe tu: luciana.salvatore147@gmail.com Mawasiliano kwa barua pepe tu: luciana.salvatore147@gmail.com Mawasiliano kwa barua pepe tu: luciana.salvatore147@gmail.com

    ReplyDelete
  3. mikataba ya mkopo kati ya binafsi, haraka na za kuaminika 30,000 kr

    LUCIANA nina mji mkuu ambazo zitatumika kutoa mikopo maalum kwa muda mfupi na mrefu kutoka 75,000kr hadi 2,000,000 kr kwa mtu yeyote kwa umakini kutaka mkopo. 2% hadi 3% riba mwaka kulingana na kiasi kulipwa kwa sababu mimi si hasa wanataka kukiuka sheria riba. Unaweza kulipa miaka 1 mpaka 20 kutegemea kiasi cha juu ameipa. Wasiliana nasi kwa barua pepe tu: luciana.salvatore147@gmail.com Mawasiliano kwa barua pepe tu: luciana.salvatore147@gmail.com Mawasiliano kwa barua pepe tu: luciana.salvatore147@gmail.com

    ReplyDelete
  4. kubwa fedha mikopo kati ya ushahidi fulani.
    E-mail address: oliviacleran@gmail.com

    Asante na wewe mama Olivia Dieu atakutuza mia.
    Ninyi ambao ni kuangalia kwa mkopo fedha, sijui jinsi ya kueleza furaha yangu kwa kuwa mimi mwenyewe kuangalia tayari, niliona mwanamke mmoja aitwaye Olivia CLERAN ya Kifaransa utaifa. Yeye iliyotolewa mkopo ya € 20,000 kwa kiwango cha 2%.
    Nawashukuru kwa kunipa mkopo.
    Naapa mbele ya Mungu na mtu kwamba mimi kulipa mkopo kila senti.
    Kama una tatizo fedha tafadhali kuwasiliana katika barua pepe yake ni: oliviacleran@gmail.com
    E-mail address: oliviacleran@gmail.com

    ReplyDelete
  5. kubwa fedha mikopo kati ya ushahidi fulani.
    E-mail address: oliviacleran@gmail.com

    Asante na wewe mama Olivia Dieu atakutuza mia.
    Ninyi ambao ni kuangalia kwa mkopo fedha, sijui jinsi ya kueleza furaha yangu kwa kuwa mimi mwenyewe kuangalia tayari, niliona mwanamke mmoja aitwaye Olivia CLERAN ya Kifaransa utaifa. Yeye iliyotolewa mkopo ya € 20,000 kwa kiwango cha 2%.
    Nawashukuru kwa kunipa mkopo.
    Naapa mbele ya Mungu na mtu kwamba mimi kulipa mkopo kila senti.
    Kama una tatizo fedha tafadhali kuwasiliana katika barua pepe yake ni: oliviacleran@gmail.com
    E-mail address: oliviacleran@gmail.com

    ReplyDelete
  6. kubwa fedha mikopo kati ya ushahidi fulani.
    E-mail address: oliviacleran@gmail.com

    Asante na wewe mama Olivia Dieu atakutuza mia.
    Ninyi ambao ni kuangalia kwa mkopo fedha, sijui jinsi ya kueleza furaha yangu kwa kuwa mimi mwenyewe kuangalia tayari, niliona mwanamke mmoja aitwaye Olivia CLERAN ya Kifaransa utaifa. Yeye iliyotolewa mkopo ya € 20,000 kwa kiwango cha 2%.
    Nawashukuru kwa kunipa mkopo.
    Naapa mbele ya Mungu na mtu kwamba mimi kulipa mkopo kila senti.
    Kama una tatizo fedha tafadhali kuwasiliana katika barua pepe yake ni: oliviacleran@gmail.com
    E-mail address: oliviacleran@gmail.com

    ReplyDelete
  7. kubwa fedha mikopo kati ya ushahidi fulani.
    E-mail address: oliviacleran@gmail.com

    Asante na wewe mama Olivia Dieu atakutuza mia.
    Ninyi ambao ni kuangalia kwa mkopo fedha, sijui jinsi ya kueleza furaha yangu kwa kuwa mimi mwenyewe kuangalia tayari, niliona mwanamke mmoja aitwaye Olivia CLERAN ya Kifaransa utaifa. Yeye iliyotolewa mkopo ya € 20,000 kwa kiwango cha 2%.
    Nawashukuru kwa kunipa mkopo.
    Naapa mbele ya Mungu na mtu kwamba mimi kulipa mkopo kila senti.
    Kama una tatizo fedha tafadhali kuwasiliana katika barua pepe yake ni: oliviacleran@gmail.com
    E-mail address: oliviacleran@gmail.com

    ReplyDelete

  8. lån erbjuda 48 timmar:jurybonasia412@gmail.com
    5000 Kr var 500.000.000 Kr
    Jag har ett kapital som ska användas för att ge på kort och lång sikt särskilda lån som sträcker sig från 5.000Kr till 500.0000 krjoner kronor till alla som vill ha seriösa detta lån. 3% ränta per år i enlighet med den lånade summan eftersom att särskilt jag inte vill bryta mot ocker lagen. Du kan betala tillbaka över 3 till 25 år maximua enligt lånebeloppet . det är upp till dig att månatliga betalningar. Jag ber bara ett erkännande av handskrivna certifierade skuld och även vissa delar krävs.:jurybonasia412@gmail.com

    ReplyDelete

  9. lån erbjuda 48 timmar:jurybonasia412@gmail.com
    5000 Kr var 500.000.000 Kr
    Jag har ett kapital som ska användas för att ge på kort och lång sikt särskilda lån som sträcker sig från 5.000Kr till 500.0000 krjoner kronor till alla som vill ha seriösa detta lån. 3% ränta per år i enlighet med den lånade summan eftersom att särskilt jag inte vill bryta mot ocker lagen. Du kan betala tillbaka över 3 till 25 år maximua enligt lånebeloppet . det är upp till dig att månatliga betalningar. Jag ber bara ett erkännande av handskrivna certifierade skuld och även vissa delar krävs.:jurybonasia412@gmail.com

    ReplyDelete

  10. Jag är redo för dem som är i nöd. Jag har ett kapital som kommer att användas för att bevilja lån individ på kort och lång sikt, som sträcker sig från 150.000 kr 60.000.000 kr till alla seriösa människor, ärlig och god moral vilja av detta lån 3 % ränta år enligt det belopp, eftersom de är särskilt vänligen kontakta mig via mail för mer information.

    Min e-post:luciana.salvatore147@gmail.com

    ReplyDelete

  11. Jag är redo för dem som är i nöd. Jag har ett kapital som kommer att användas för att bevilja lån individ på kort och lång sikt, som sträcker sig från 150.000 kr 60.000.000 kr till alla seriösa människor, ärlig och god moral vilja av detta lån 3 % ränta år enligt det belopp, eftersom de är särskilt vänligen kontakta mig via mail för mer information.

    Min e-post:luciana.salvatore147@gmail.com

    ReplyDelete
  12. förändra livet? Vi erbjuder lån till 750.000 kr 20 000.000 kr personer

    Du behöver en akut lån? utan långdragen process? Du vill köpa en bil? renovera din lägenhet? av ett projekt? att förändra livet? Vi erbjuder lån till 750.000 kr 20 000.000 kr personer som är i behov med en ränta på tre procent 3% återbetalas under 35 år gammal. Kontakta mig
    E-post:luciana.salvatore147@gmail.com

    ReplyDelete
  13. förändra livet? Vi erbjuder lån till 750.000 kr 20 000.000 kr personer

    Du behöver en akut lån? utan långdragen process? Du vill köpa en bil? renovera din lägenhet? av ett projekt? att förändra livet? Vi erbjuder lån till 750.000 kr 20 000.000 kr personer som är i behov med en ränta på tre procent 3% återbetalas under 35 år gammal. Kontakta mig
    E-post:luciana.salvatore147@gmail.com

    ReplyDelete
  14. förändra livet? Vi erbjuder lån till 750.000 kr 20 000.000 kr personer

    Du behöver en akut lån? utan långdragen process? Du vill köpa en bil? renovera din lägenhet? av ett projekt? att förändra livet? Vi erbjuder lån till 750.000 kr 20 000.000 kr personer som är i behov med en ränta på tre procent 3% återbetalas under 35 år gammal. Kontakta mig
    E-post:luciana.salvatore147@gmail.com

    ReplyDelete
  15. förändra livet? Vi erbjuder lån till 750.000 kr 20 000.000 kr personer

    Du behöver en akut lån? utan långdragen process? Du vill köpa en bil? renovera din lägenhet? av ett projekt? att förändra livet? Vi erbjuder lån till 750.000 kr 20 000.000 kr personer som är i behov med en ränta på tre procent 3% återbetalas under 35 år gammal. Kontakta mig
    E-post:luciana.salvatore147@gmail.com

    ReplyDelete
  16. Var och en bör ha en chans att utveckla sitt liv och sina projekt, oavsett plats och födelse. Som jag fick chansen att göra genom att få ett lån från Madame Morganne Papal. Tack för att du litar mycket på den här damen för det är det som har gynnat mig mest.
    hennes e-postadress för att komma i kontakt med henne är: morganepapal2@gmail.com

    ReplyDelete
  17. Var och en bör ha en chans att utveckla sitt liv och sina projekt, oavsett plats och födelse. Som jag fick chansen att göra genom att få ett lån från Madame Morganne Papal. Tack för att du litar mycket på den här damen för det är det som har gynnat mig mest.
    hennes e-postadress för att komma i kontakt med henne är: morganepapal2@gmail.com

    ReplyDelete
  18. Hej, jag är upptagen med spridningen av annonser för personliga lån som dyker upp på nätet. Jag fruktar att många människor i svårigheter och brådskande blindt kastar sig in i en riskabel operation. Jag råder dig att komma i kontakt med fru Chantale LAUD. Det beviljar penninglån mellan allvarliga individer.
    Här är hans e-post: chantalelaud@gmail.com

    ReplyDelete
  19. Hej, jag är upptagen med spridningen av annonser för personliga lån som dyker upp på nätet. Jag fruktar att många människor i svårigheter och brådskande blindt kastar sig in i en riskabel operation. Jag råder dig att komma i kontakt med fru Chantale LAUD. Det beviljar penninglån mellan allvarliga individer.
    Här är hans e-post: chantalelaud@gmail.com

    ReplyDelete





  20. INFOS URGENT AUX VICTIMES D'ARNAQUES SUR INTERNET



    Vu les nombreuses plaintes sur les forums et témoignages des victimes d’arnaques, nous constatons que ces derniers temps, il y a des victimes tous les jours et nous sommes sûr que d’autres se font avoir et ne disent rien par honte. Il faut absolument que toutes les victimes d’arnaques sur internet portent plainte. En ligne, cela ne prend que 5 minutes et la confirmation de la police Interpol n’est pas compliquée.IL FAUT LE FAIRE… car nous le faisons pour que la police face leur travail et au moins être rembourser les victimes d'arnaques de tout genre sur internet pour un dédommagement qui varie du double au triple selon le montant escroquer par ses fraudeurs . Bien sûr nous serons à l’écoute pour des solutions adéquates.



    E-mail : cellule-antifraude@cyberdude.com    /  cellule.interpolmondial@mail.ru

     

    ReplyDelete

  21. Offerta di prestito di denaro tra privati avocatsaulo@gmail.com
    offriamo un prestito di denaro semplice, veloce e affidabile che va da 1.000,00 Euro a 1.000.000,00 Euro a persone serie e oneste
    ha bisogno di soldi con un tasso di interesse del 3% annuo. Per maggiori informazioni contattatemi solo tramite Email: avocatsaulo@gmail.com
    WhatsApp: +39 3509 228 529

    ReplyDelete



  22. Finanziamenti per Natale .... whatsapp +39 345 238 6055

    Concedo di finanziamento che vanno da 3.000 - 5.000.000 di euro ad un tasso del 3% per periode di rimborso da 1 a 30 anni . e-mail:::jurybonasia412@gmail.com

    ReplyDelete



  23. Un grande ciao a voi Sig.ra e sig.

    Il vostro menu del mese

    Ecco l'offerta più attesa dei privati.

    Realizzate i vostri progetti senza toccate a voi economie.

    Ciò è possibile facendo la vostra domanda di credito in questo giorno.

    Un credito secondo le vostre necessità.

    Un credito da ricevere senza garanzia.

    Un credito che riceverete senza dettagliato i vostri progetti.

    Scegliete l'importo della vostra scelta che va di 5000€ a 500.000,00€

    La vostra domanda sarà convalidare in 24:00

    Prendete contatta con il sig. Didier gomesse all'indirizzo e-mail didiergomesse@gmail.com

    ReplyDelete



  24. Lo chiamo sig. DIDIER GOMESSE.

    Se mi accontento inviato di questa pubblicità, è perché l'accesso credito al mondo sia una realtà.

    Amerei nella semplicità darli una mano per alleviato qualche li sono i vostri progetti.

    Se avete avuto la possibilità di leggere questa pubblicità è che potete infine avere la pace nella vostra vita.

    Ecco per voi un uomo di cuore disponibile per mettervi sulla buona strada.

    Scegliete un'opzione di credito che potete ricevere in 2 giorni. ( 5000€ à 5.000.000,00€ )

    Volete contattarlo al mio indirizzo mail: didiergomesse@gmail.com

    ReplyDelete
  25. Di persone volontarie sono disposte ad aiutarvi Risolvere i vostri problemi in 3 giorni senza tasse da pagare. Siamo disponibili ad aiutare. 5.000 € a 500.000 €. La nostra politica: la trasparenza, la velocite e la soddisfazione. Accogliamo con favore le vostre richieste!!! Contatti: scrivimi direttamente al mio numero Whatsapp: +393458773446

    ReplyDelete

  26. Io sono il direttore di un gruppo di partner finanziari. Oggi, scopriamo che le banche non sono più credito sovvenzione. 1.000,00 Euro a 1.000.000,00 Euro Email: avocatsaulo@gmail.com
    WhatsApp: +39 3509 228 529

    ReplyDelete
  27. OFFERTA FINANZIARIA
    Privat offre anticipi in contanti da € 2.000 a € 5.200.000 a pagamento
    Il tasso di interesse è del 2%, rimborsabile in un periodo da 2 a 30 anni
    condizioni favorevoli se siete interessati alla mia offerta contattatemi
    il prima possibile perché ci sono discussioni sui metodi e
    fornire documenti.
    E-mail a Gmail: svalucas457@gmail.com

    ReplyDelete
  28. E-mail : inspecteur@oilcc-unit.com

    OILCC est un organisme international de lutte contre la cybercriminalité .Nous collaborons avec la police des pays concernés par les affaires pour procéder à l'arrestation des cybercriminels et les faire rembourser les fonds extorqués dans le cas d'une cybercriminalité financière. Déposez une plainte directement sur notre adresse mail pour une assistance particulière :

    CONTACT :

    E-mail : inspecteur@oilcc-unit.com

    Site Web : https://oilcc-unit.com

    ReplyDelete

Maoni yako