Saturday 29 October 2016

HAPPY BIRTHDAY MR PRESIDENT DR JOHN MAGUFULI

Leo Oktoba 29 ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli ambapo alizaliwa Oktoba 29, 1959.

Rais Magufuli alizaliwa mkoani Geita na kitaaluma yeye ni mwalimu aliyebobea katika somo la Chemistry.

Katika siku yake hii ya kuzaliwa, Rais Magufuli amewashukuru Watanzania wote kwa kuendelea kumuombea ambapo amesema kuwa ataendelea kufanyakazi kwa bidii na kuwatumikia watanzania wote kwa ajili ya maendelo ya nchi.

Kupitia akaunti yake ya Twitter, Rais Magufuli ameandika jumbe hizi;
Follow
Dr John Magufuli ✔ @MagufuliJP
Ninamshukuru Mungu kufikia siku yangu ya kuzaliwa,ninawashukuru watanzania nyote kwa kuniombea.Nitafanya kazi kwa moyo&nguvu zangu zote 1/2.
10:37 AM - 29 Oct 2016
297 297 Retweets 574 574 likes
Follow
Dr John Magufuli ✔ @MagufuliJP
Ninaahidi kuendelea kufanya kazi kwa moyo na nguvu zangu zote kwa ajili ya maendeleo ya Taifa. Mungu Ibariki Tanzania 2/2.
10:38 AM - 29 Oct 2016
218 218 Retweets 405 405 likes

No comments:

Post a Comment

Maoni yako