Wednesday 26 October 2016

WEWE DADA "HATA MUNGU ANAKUONA"

Inaumiza sana kuona mtu hatumii bidii kujifunza kitu ambacho ni muhimu hasa katika maisha ya familia na anaamua kuonyesha wazi wazi kuwa yeye hayo sio fani yake. Ila kama mwanamke wa kiafrika na unaejua nafasi yako katika familia, "Jitume".

No comments:

Post a Comment

Maoni yako