Saturday 22 October 2016

MRADI MKUBWA WA HOTELI YA KITALII KUJENGWA HUKO MATEMWE ZANZIBAR

Mmiliki wa Mradi wa Hoteli ya Kitalii katika eneo la Matemwe Mkoa wa Kaskazini Unguja, Mkurugenzi wa Mradi huo Brain Thomson, akitowa maelezo kwa waandishi wa habari walipofika kutembelea mradi huo kujionea maendeleo ya matayarisho yake na kuwaonesha michoro ya picha za majengo ya Mradi huo mkubwa utakaokuwa na uwanja vya ndege na kutengeneza visiwa kwa ajili ya wageni wanaofika katika Visiwa vya Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako