Wednesday 21 December 2016

UJUE MGAHAWA WA STAA SHILOLE "Shishi"

Yapata Mwezi sasa umepita tangia Shilole afungue Mgahawa wake na tayari matunda yana onekana kwani mrembo huyo kupitia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio amesema anaingiza faida ya Laki Tano Tsh 500,000/= kwa siku.
“Mimi hata kama waniite mama ntilie ila najua mwisho wa siku naingiza mkwanja wangu sipungukiwi kitu nauza chakula na jioni naingiza laki tano wewe endelea tu kupiga majungu mimi napiga kazi“Amesema Shilole

No comments:

Post a Comment

Maoni yako