Thursday 1 December 2016

TBL YAZINDUA MWONEKANO MPYA WA POMBE YA CHIBUKU KATIKA CHUPA

Watumiaji wa kinywaji maarufu cha nafaka kiitwacho Chibuku kinachouzwa sana katika Jiji la Dar, sasa watakuwa wakiburudika na kinywaji hicho kwenye chupa mpya ya ujazo wa nusu lita ambayo itauzwa kwa sh.700

No comments:

Post a Comment

Maoni yako