Tunapoendelea kusherehekea Eid, ikiwa ni siku ya Jumapili pia tujipe moyo kwa kutokata tamaa katika yale tufanyayo kila siku ili mradi ni mema. Mungu yupo pamoja nasi. Tazama wengine ambavyo wanajitahidi. Tumia neema ulizojaliwa na mungu kwa manufaa-maendeleo yako na jamii kwa ujumla.
BASATA Yashukuru DCEA kwa Kurejesha Afya ya Chid Benz
34 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako