Friday 31 July 2015

AMECHUKUA TENA. NANI?.....NINI?.....

Mhe Edward Lowassa aliyekatwa CCM na kuamua kuhamia CHADEMA, leo amechukua Fomu ya kuomba kuwania urais kwa tiketi ya chama hicho.
Mhe Lowassa akiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA mhe.Freeman Mbowe mara baada ya kukabidhiwa Fomu za urais

No comments:

Post a Comment

Maoni yako