Sunday 19 July 2015

DK. MAGUFULI APOKELEWA KWA SHANGWE MWANZA

Mke wa mgombea wa nafasi ya Urais kupitia CCM, Janet Magufuli akiwasalimu wananchi wa Jiji la Mwanza waliojitokeza kwa wingi kuja kumuona mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Pombe Magufuli.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako