Sunday 12 July 2015

CHADEMA NAO SIO HABA BAADA YA CCM KUFUNGUA UKUMBI MPYA

Pichani chini Mwenyekiti wa CCM Taifa Mhe.Rais Jakaya Kikwete akifunga Mkutano Mkuu wa CCM ulopitisha jina la mgombea urais kwa Tiketi ya CCM mhe. John Magufuli
Rais Kikwete akiwa na Mgombea Urais Mhe. John Magufuli na Mgombea mwenza Mhe.Samia Suluhu Hasan
(Picha kwa Hisani ya Michuzi Blog)

No comments:

Post a Comment

Maoni yako