Thursday 30 July 2015

KAULI YA ZEMBWELA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2015


SINA CHAMA SINA KADI ila..
Taifa lina KIU.....MIMI nadhani tunakosa na linahitaji mtu mwenye SIFA 3

1: Asiye na MAKUNDI ili asilipe FADHILA kwenye UTEUZI wake.

2: Atakae weza kutupeleka MWENDO MDUNDO kuanzia MFANYAKAZI wa ndani mpk MFANYAKAZI wa BOT, TRA, nk

3; Taifa linahitaji Rais mwenye UWEZO wa KULITAFUNA ''JONGOO''

No comments:

Post a Comment

Maoni yako