Saturday 28 March 2009

HUZUNI



Mpendwa Mzee Amedeus Mwangoka,Baba mzazi wa mwenye Blog hii ametutoka ghafla Kibosho Hospital-Moshi, usiku wa Jumatatu 23/03/2009. Mazishi yanafanyika leo Jumamosi 28/03/2009 nyumbani Kilingi-Sanya Juu Kilimanjaro. Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana libarikiwe. Apumzike kwa Amani.Amina.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako