Tuesday 31 March 2009

HII NI BILA BILA



Tatizo la usafiri linalopelekea kujazana kwenye vyombo rasmi na visivyo rasmi vya usafiri kimakosa na hivyo kuhatarisha maisha. Hii si kwetu tu,hata kwa wenzetu, ila si kwamba tunahalalisha hili!

No comments:

Post a Comment

Maoni yako