Saturday 28 March 2009

SHUKRANI KATIKA HUZUNI





MwanaBlog anatoa shukrani za pekee kwa wote wanaoendelea kumfariji katika kipindi hiki kigumu akiwa nchi za mbali na hivyo kushindwa kuhudhuria mazishi ya baba mpendwa.Asanteni sana na Mungu awakarimu.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako