
Unachukua usafiri wa basi hapa kuelekea Airport

Unapita Barabara hii kuelekea Airport

Unaingia katika kiwanja hiki au hiki cha ndege


Unachukua usafiri wa Ndege kama hii

Unapokaribia Nyumbani Tanzania, unaona mandhari safi ya Jiji la Dar-es-Salaam

Unashukia katika kiwanja chetu cha ndege
%5B1%5D.jpg)
Unachukua usafiri huu kuelekea katikati ya Jiji kujipumzisha kwa muda kabla ya kuelekea kijijini kwa Babu na Bibi
Unajipumzisha katika moja ya sehemu kama hii
Unatembelea sehemu kama hizi kabla ya kuondoka, huku ukituma usafiri kama huu
Halafu unaondoka kuelekea Ubungo Bus Terminal kwa usafiri huu au huu
Safari ya kuelekea Kijijini toka Jijini inaanza hapa
Vijijini unapokelewa na usafiri kama huu kuelekea makazi asilia

UNAPOTEMBEA KUELEKEA NYUMBANI UNAPISHANA NA WANAKIJIJI WENZIO WANAOTESA KWA RAHA ZAO KIVYAOVYAO


Hatimaye kwa BABU,BIBI na wengineo




No comments:
Post a Comment
Maoni yako