Monday 16 March 2009

"HOME SWEET HOME" Iwapo umebobea maeneo ya anga za mbali,unapowaza kwenda kusalimu makazi asilia kwa Babu na Bibi,yawezekana ukapitia mpangilio huu.

Unaondokea katika Jiji maarufu kama hili
Unachukua usafiri wa basi hapa kuelekea Airport

Unapita Barabara hii kuelekea Airport

Unaingia katika kiwanja hiki au hiki cha ndege


Unachukua usafiri wa Ndege kama hii

Unapokaribia Nyumbani Tanzania, unaona mandhari safi ya Jiji la Dar-es-Salaam

Unashukia katika kiwanja chetu cha ndege

Unachukua usafiri huu kuelekea katikati ya Jiji kujipumzisha kwa muda kabla ya kuelekea kijijini kwa Babu na Bibi

Unajipumzisha katika moja ya sehemu kama hii

Unatembelea sehemu kama hizi kabla ya kuondoka, huku ukituma usafiri kama huu





Halafu unaondoka kuelekea Ubungo Bus Terminal kwa usafiri huu au huu


Safari ya kuelekea Kijijini toka Jijini inaanza hapa

Vijijini unapokelewa na usafiri kama huu kuelekea makazi asilia


UNAPOTEMBEA KUELEKEA NYUMBANI UNAPISHANA NA WANAKIJIJI WENZIO WANAOTESA KWA RAHA ZAO KIVYAOVYAO




Hatimaye kwa BABU,BIBI na wengineo



No comments:

Post a Comment

Maoni yako