Wednesday 9 November 2016

TANZIA TENA: ALIYEWAHI KUWA WAZIRI WA ELIMU JOSEPH MUNGAI AMEFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa waziri wa Elimu Tanzania Joseph Mungai amefariki Dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako