Rais Magufuli: Niwashukuru sana kwa michango yenu mikubwa katika maeneo yenu ya kazi.
Swali(Tido Mhando): Ulichukua muda kuunda baraza la mawaziri, Je Katika tathmini hiyo wanafanya kazi kulingana na ulichotegemea wakifanye
Jibu(Magufuli): Serikali niliyounda imenisaidia sana na wanafanya kazi zao vizuri, niliona niwe na baraza la watu wachache katika kuwatumikia wananchi, changamoto zipo lakini nina imani kubwa.
UKITAKA KUANGALIA VIDEO NZIMA HII HAPA
BASATA Yashukuru DCEA kwa Kurejesha Afya ya Chid Benz
34 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako