Friday 19 September 2014

UJASIRIAMALI: UWAJIBIKAJI NA KUJITUMA KUTABORESHA MAISHA

Moja ya maduka madogo ya maeneo ya vijijini na mtaani ambayo raia hujipatia mahitaji yao ya kila siku. Kuendelea kuwajibika,kutunza mtaji, kuboresha mauzo kutampelekea mjasiriamali huyu baadae kuwa na duka duka na hata Supermarket. KUMBUKA hata Mbuyu ulianza kama mchicha.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako