Tuesday 23 September 2014

DALADALA ZA BONGO DAR ES SALAAM

Ukitoka nyumbani inabidi uwe umeshiba vizuri maana pilika za kupata usafiri wa daladala katika baadhi ya maeneo ya Jiji ni tabu sana. Hakuna cha mwanaume wala mwanamke, hapa ni"MWENYE NGUVU MPISHE"
Mambo ya Tandika huko Wilayani Temeke

No comments:

Post a Comment

Maoni yako