Friday 19 September 2014

SCOTLAND KUENDELEA KUWA SEHEMU YA UNITED KINGDOM/UINGEREZA

Jana ilipigwa kura kwa wanaotaka Scotland kuwa Nchi yenye mamlaka kamili na sio kuwa mshirika wa UK pamoja na England na Wales. Hata hivyo 45% walitaka nchi hiyo ijitenge ila 55% wakataba ibaki sehemu ya UNITED KINGDOM. Kufuatia matokea hayo wengine wamelia na wengine wamefurahi huku Waziri Mkuu wa Scotland Mhe Alex Salmond kuamua kujiuzulu.
Chini ni Waziri Mkuu Mhe.Alex Salmond

No comments:

Post a Comment

Maoni yako