Kesho ni jumatatu, k2wa wanafunzi hawa wanaosomea sakafuni unadhani watakuwa wanajisikia vizuri kwenda shuleni? Shule ambapo ni sehemu ya kupata elimu ukiwa na utulivu na furaha, kwa hawa ni tofauti kabisa. Serikali na vyombo husika, tupieni jicho jambo hili
BIL 5.7 KUKAMILISHA UJENZI SHULE MBILI SIHA-KILIMANJARO
10 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako