Sunday 28 September 2014

UIWAZAPO KESHO

Kesho ni jumatatu, k2wa wanafunzi hawa wanaosomea sakafuni unadhani watakuwa wanajisikia vizuri kwenda shuleni? Shule ambapo ni sehemu ya kupata elimu ukiwa na utulivu na furaha, kwa hawa ni tofauti kabisa. Serikali na vyombo husika, tupieni jicho jambo hili

No comments:

Post a Comment

Maoni yako