Wednesday 2 April 2014

WAKAWATAMBUENI KWA MATENDO YENU

Huu ni msemo nzuri ambayo waonyesha naona ya kuelekeza jema la kufanya kwa kutenda na sio kusema tu "wewe fanya hivi" lakini mwenyewe hutendi. Ni hamasisho kwa wazazi kuwafundisha watoto wao yale yaliyo mema kwa matendo.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako