Saturday 19 April 2014

HUJAFA HUJAUMBIKA

Gwiji la muziki wa dansi nchini Marehemu Muhdin Gurumo enzi za uhai wake akitazama mwembe, mti ambao tawi lake lilimdondokea akiwa mdogo na kumpofua jicho moja. Inaemekana alikuwa amelazwa hapo chini ya mwembe huku mama yake akiendelea na shughuli nyingine ndipo tawi hilo lilipomdondokea na kumuumiza jicho. Mungu amrehemu.

Mtoto akimlisha mama yake. Alipokuwa mchanga mtoto huyu alikuwa akilelewa na kulishwa na mama yake ila baadae kaona mama yake anavyoteseka majukumu yakageuka.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako