Saturday 22 February 2014

YA KWELI HAYA?

Kucheki mpira na wanawake ni stress tupu kwa maswali yao:

Mwanamke: Baby yule jamaa ni Chris Brown?
Jamaa: Hapana anaitwa Theo Walcott.
Mwanamke: Hee.. Ile kadi ya njano ni ya nini?
Jamaa: Ni onyo tu kwamba kafanya kitendo kibaya, akipewa nyekundu anatoka!
Mwanamke: Na ya kijani je?
Jamaa: Hamna kitu kama hicho! Hamna za kijani!
Mwanamke: Nataka Arsenal washinde Kombe la Dunia.
Jamaa: (kimya)
Binti: Yule mzee ni nani?
Jamaa: Arsene Wenger.
Binti: Okay! Kwa hiyo na yule mwingine ni Manchester Wenger?!

No comments:

Post a Comment

Maoni yako