Sunday 16 February 2014

USIJARIBU HII BONGO

Mkulima mmoja nchini China aliwatembeza bata wake wanaokadiriwa 50,000 akisema anawapa zoezi maana wanakaa ndani muda mrefu. Magari yalisubirishwa muda mrefu bata hao walipokuwa wanavuka njia.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako