Saturday 1 February 2014

CHANGAMOTO

Mwezi wa kwanza(Januari) ndo umeisha na sasa tumeingia Februari. Pengine si vibaya kuangalia ni kwa namna gani mikakati yetu ya mwaka huu imeanza kupata mafanikio au kukwama.

Haitoshi tu kuvaa na kupendeza. Ila pia muhimu kujua chakula malazi na mahitaji mengine yanapewa kipaumbele katika utafutaji. Kazi ni kazi kwa mtu yeyote,nsmna yoyote,na mazingira yoyote ili mradi inakuletea kipato na hauvunji sheria za nchi au za kibinadamu.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako