Thursday 6 February 2014

HII IMEKAAJE?

Sheria za Usalama barabarani zimekuwa zikivunjwa kila siku hasa na madereva na abiria wa pikipiki au maarufu Bodaboda jijini Dar es Salaam na hata mikoani. Pichani ni raia wa kigeni wakiwa wamepakiwa kwa staili ya mshikaki katika bodaboda huku wakiwa hawana kofia ngumu za kuwakinga na ajali. Hii ilikuwa Posta mtaa wa Ohio.  (Habari picha kwa hisani ya Father Kidevu)

No comments:

Post a Comment

Maoni yako