Friday 21 February 2014

VIMINI HAVINA SOKO TENA UGANDA

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametia saini Mswada wa kuzuia wanawake kuvaa nguo fupi zijulikanazo kama vimini ama nguo zozote za nusu uchi. Kuanzia sasa mtu yoyote atakaye kutwa amevaa hivyo atachukuliwa sheria ikiwemo adhabu ya kufungwa jela miaka 10 mpaka 15 ...Je unaonaje na kwetu Tz ikiletwa Adhabu Hii 

2 comments:

Maoni yako