Sunday 21 May 2017

MHE RAIS YOWERI MUSEVENI AWA MWENYEKITI MPYA WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI EAC

Rais John Magufuli jana (Jumamosi) amemkabidhi rasmi uenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), kwa Rais Yoweri Museveni.Muda mfupi kabla ya kumkabidhi nafasi hiyo, Rais Magufuli ambaye alikuwa mwenyekiti wa EAC

No comments:

Post a Comment

Maoni yako