Thursday 25 May 2017

HOT NEWZ.......MHE PROFESA MUHONGO AACHISHWA UWAZIRI

IKULU: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo ambapo uteuzi wa kujaza nafasi yake utafanyika baadaye.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako