Tuesday 16 May 2017

USAFIRI ULIO HATARI KIUSALAMA

Siku ya hivi karibuni kumekuwa kukitokea ajali nyingi zinazochukua maisha ya watu na kuwaacha wengine majeruhi au vilema wa muda mrefu. Pengine yinatokea bahati mbaya ila nyingi yinasababishwa na uyembe na kutotii sheria ya usafirishaji na barabarani. Picha hii ni mfano mmojawapo

No comments:

Post a Comment

Maoni yako