Wednesday 15 March 2017

RAIS MSTAAFU AZINDUA JAKAYA MRISHO KIKWETE FOUNDATION

Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete (kulia), akizungumza alipokuwa akizindua rasmi Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Jakaya Mrisho Kikwete Foundation (JMKF) ikiwa ni sehemu pia ya uzinduzi wa taasisi hiyo kwenye Hoteli ya Hyatt (Zamani Kempinski The Kilimanjaro) Jijini Dar es Salaam.

Taasisi ya Maendeleo ya Jakaya Mrisho Kikwete (JMKF).Taasisi hiyo imeundwa ili kusaidia Tanzania na Afrika katika kuimarisha amani, afya, utawala bora na maendeleo endelevu.Hawa ndo wajumbe 9 wa Bodi ya Wadhamini ya kwanza ya Taasisi hiyo.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako