Thursday 9 March 2017

MAJANGA YA SIMU ZA MKONONI KWA JAMII

Zamani kidogo ilikuwa kawaida watu wanatembeleana kujuliana hali na kujenga ukaribu kwa kushirikisha hili na lile kwa maongezi ya ana kwa ana. Pia ilikuwa kawaida kushiriki hata milo pamoja huku mkiendelea kuongea. Lakini miaka ya hivi karibuni kutokana na maendeleo ya sayansi na Tekinolojia,imeonekana yatosha t kupiga simu au ujumbe kumsalimia mtu mwingine hata zaidi ya mwaka/miaka bila kuonana. Hii yawezekana ni nzuri kwa kuokoa muda lakini binadamu kama binadamu yapendeza mnapoonana ana kwa ana

No comments:

Post a Comment

Maoni yako