Friday 10 March 2017

MATUMIZI MAZURI NA SAHIHI YA KODI ZA WATANZANIA

Ujenzi wa majengo 20 yenye uwezo wa kuhudumia zaidi ya wanafunzi 3,840 wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambapo kila jengo lina ghorofa nne umekamilika baada ya kuchukua muda wa miezi minane

No comments:

Post a Comment

Maoni yako