Monday 27 March 2017

NEY WA MITEGO AACHIWA: WIMBO WAKE RUKSA KUPIGWA

Msanii Ney wa Mitego ameachiwa huru na kushauriwa Wimbo wake huo ikiwezekana aufanyie marekebisho kuongeza vitu mbalimbali na kuendelea kupigwa. Hayo yamesemwa na mhe Harrison Mwakyembe akitoa ujumbe toka kwa Mhe rais Magufuli kuhusu kukamatwa kwa Ney na wimbo wake kufungiwa na BASATA.

Wimbo wake usikilize hapa chini;

No comments:

Post a Comment

Maoni yako