Monday 30 May 2016

MWALIMU NYERERE KATIKA USAFIRI WA UNYENYEKEVU

Hapa kwetu Tanzania Julius Nyerere ni mfano wa viongozi walioishi maisha ya kadiri. Mwalimu aliishi kama alivyohubiri. Ni mfano wa kuigwa.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako